Menu ›
Dini
Mon, 18 Oct 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limeutaarifu Umma wa Waislamu na Watanzania kwa Ujumla kuhusiana na tarehe rasmi ya Maadhimisho ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W), ambayo hutambulika kama sikukuu ya Maulid.
Aidha BAKWATA imetumia nafasi hiyo kuwaeleza watanzania eneo litakalotumika kusomwa kwa Maulid hayo kitaifa, ambapo yatafanyika Mkoani Kagera.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live