Menu ›
Dini
Wed, 14 Feb 2018
Chanzo: bongo5.com
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli pamoja na Mkewe, Mama Janeth Magufuli wameshiriki ibada ya Majivu katika kanisa la Mtakatifu Joseph. Ibada hiyo imeongozwa na Askofu Mkuu Polycarp Kardinali Pengo wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam.
Chanzo: bongo5.com