Dini

Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Picha: Rais Magufuli na Mkewe washiriki ibada ya Majivu

3231 M13 TZW

Wed, 14 Feb 2018 Chanzo: bongo5.com

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli pamoja na Mkewe, Mama Janeth Magufuli wameshiriki ibada ya Majivu katika kanisa la Mtakatifu Joseph. Ibada hiyo imeongozwa na Askofu Mkuu Polycarp Kardinali Pengo wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam.

Chanzo: bongo5.com