Menu ›
Dini
Wed, 4 Aug 2021
Chanzo: globalpublishers.co.tz
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) Padre Raymond Saba amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumatano, Ahosti 4, 2021 wakati akipatiwa Matibabu katika Hospitali ya Rabininsia.
Askofu Joseph R. Mlola wa Jimbo Katoliki Kigoma amethibitisha kutokea kwa kifo hicho na kuwasihi waumini wa katoliki pamoja na watanzania kumuombea kiongozi huyo pumziko la milele.
Raha ya milele umpe ee Bwana, na mwanga wa milele umwangazie. Apumzike kwa amani. Amina.
Chanzo: globalpublishers.co.tz