Menu ›
Dini
Thu, 24 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa 21 wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) wameridhia pendekezo la kuwa na Katiba moja ya Kanisa hilo.
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa 21 wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) wameridhia pendekezo la kuwa na Katiba moja ya Kanisa hilo. Mkuu wa Kanisa hilo, Askofu Fredrick Shoo ametangaza uamuzi huo leo Agosti 24, 2023 katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Tumaini Makumira (Tuma) mkoani Arusha unapofanyika mkutano huo ambao pia una lengo la kumchagua mkuu wa Kanisa hilo atakayemrithi Askofu Shoo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live