Menu ›
Dini
Fri, 26 Mar 2021
Chanzo: globalpublishers.co.tz
Live: Ibada Ya Mwisho Ya Kumuombea Hayati Rais Magufuli – Chato March 26, 2021 by Global Publishers
BURIANI MAGUFULI: Hapa ndipo itakapofanyika ibada ya mwisho ya kuaga mwili wa Hayati Dkt. John Magufuli. Ni Kanisa la muda lililoandaliwa hapa kwenye Uwanja wa Magufuli, Chato.
Tayari wageni mbalimbali, viongozi na baadhi ya wananchi wameshajumuika.
#BurianiMagufuli #RIPMagufuli #BurianiJPM
Chanzo: globalpublishers.co.tz