Dini

Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Askofu mstaafu Mmole afariki dunia, kuzikwa Mei 21

57672 Askofupic

Thu, 16 May 2019 Chanzo: mwananchi.co.tz

Dar es Salaam. Askofu mstaafu, Gabriel Mmole wa Jimbo Katoliki la Mtwara amefariki dunia leo alfajiri Mei 15, 2019.

Taarifa  za kifo hicho zimetolewa leo na katibu mkuu wa  Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Charles Kitima.

Akizungumza na Mwananchi Kitima amesema askofu Mmole amefariki akiwa na umri wa miaka 80, kwamba alikuwa mgonjwa.

“Mazishi yatafanyika Mei 21, 2019 mkoani Mtwara,” amesisitiza Padri Kitima.

Chanzo: mwananchi.co.tz