Tue, 7 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Waziri mkuu Kassim Majaliwa amewasili Mkoani Tanga kwa ziara ya siku moja
Waziri mkuu Kassim Majaliwa amewasili Mkoani Tanga kwa ziara ya siku moja Akiwa Mkoani humo atafanya ziara Katika wilaya ya Handeni ambapo atafanya kikao cha ndani na watumishi waliopo wilayani humo pamoja na kuzungumza na wadau wa walioko Katika Kijiji cha Msomera.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live