Mon, 29 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Antony Mtaka amewapa onyo wazazi wanaowanywesha pombe ya Ulanzi watoto wao wadogo pindi wanapolia njaa ili walale badala ya kuwapa chakula.
Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Antony Mtaka amewapa onyo wazazi wanaowanywesha pombe ya Ulanzi watoto wao wadogo pindi wanapolia njaa ili walale badala ya kuwapa chakula. Mtaka ameyasema hayo wakati wa kampeni ya lishe wilayani Wanging’ombe mkoani humo huku akiweka bayana kuwa hafurahishwi na Njombe kuwa na kiwango kikubwa cha Udumavu licha ya kuwa mzalishaji mkubwa wa mazao ya chakula.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live