Wed, 17 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Watu kadhaa wamenusurika katika ajali iliyohusisha lori la mizigo baada ya kuligonga kwa nyuma gari la abiria aina ya Eicher eneo la Tabata Matumbi jijini Dar es salaam.
Taarifa za awali zimeeleza kuwa chanzo cha ajali hiyo ni mwendokasi wa dereva wa lori aliyeshindwa kulidhibiti gari hilo.
Tazam Video hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live