Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Watu 21 wanusurika kifo kwenye ajali ya treni Kigoma

4026 DXIcvq1X4AA3loa TZW

Wed, 7 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Watu 21 wamenusurika kifo kwenye ajali mbaya ya Treni mchana wa leo katika Kijiji cha Mpeta wilayani Uvinza, mkoani Kigoma kati ya stesheni ya Malagarasi na Uvinza.



Akithibisha taarifa hizo, Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Kigoma amesema hakuna mtu aliyepoteza maisha kwenye ajali hiyo, huku akiahidi kutoa taarifa zaidi juu ya tukio hilo.



Mashahidi wamesema kuwa kichwa cha Treni kiliacha reli na kudumbukia kwenye dimbwi la maji kuna mabehewa mawili yakifuata kichwa hicho.

Chanzo: bongo5.com