Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Wananchi walivyomkataa Mkuu wa Wilaya mbele ya Waziri Mkuu

3442 Kwimba 660x387

Mon, 26 Feb 2018 Chanzo: millardayo.com

Wananchi wa Wilaya Kwimba wamejitokeza na mabango mbele ya Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa wakati wa ziara yake kwenye Wilaya hiyo wakishinikiza kuwa hawamtaki Mkuu wa Wilaya wa Kwimba kwa madai amekuwa akiwafanyisha kazi wananchi kwenye mashamba yake bila ya kuwalipa na kuwakamata bila kosa.

Wazii Mkuu baada ya kusoma mabango ya wananchi amemuagiza Mkuu wa Mkoa John Mongella kulifanyia uchunguzi ili majibu yapatikane upesi.



MBOWE ALIVYOFUNGA KAMPENI ZA UCHAGUZI KINONDONI, BONYEZA PLAY HAPA CHINI KUTAZAMA



 

Chanzo: millardayo.com