Mon, 1 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wananchi wa Kijiji cha Mpaji Kata ya Mbwewe, Halmashauri ya wilaya ya Chalinze mkoani Pwani, wamelazimika kufunga barabara kufuatia ajali iliyohusisha dereva wa gari dogo isiyofahamika kumgonga mtoto na kutokomea kusiko julikana.
Jeshi la polisi Mbwewe limefika eneo la tukio kuweka mambo sawa huku taarifa ya moja mwa moja ya mtoto aliyegongwa haijajulikana kama ameumia sana au kupoteza maisha, jitihada bado zinaendelea za kuwapata jeshi la polisi ili kuthibitisha uwepo wa tukio hilo.
Endelea kufuatilia kurasa zetu kwa habari zaidi. #EastAfricaRadio
Chanzo: www.tanzaniaweb.live