Wed, 8 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wananchi mbalimbali wamejitokeza katika hospitali ya mkoa wa Geita kutambua miili ya ndugu zao waliofariki katika ajali ya gari iliyotokea Kata ya Kasamwa mkoani Geita jana Machi 7/2022, ambapo hadi sasa watu 10 wamethibitishwa kufariki dunia ambapo wanawake ni watano na wanaume watano
Ajali hiyyo ilihusisha gari linalofahamika kwa jina la Sheraton lililoanguka mtaroni baada ya kupasuka tairi la mbele,
Miongoni mwa waliofariki ni mwandishi na mhariri wa Gazeti la Nipashe na The Guardian kanda ya Ziwa Mwanza Richard Makore.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live