Fri, 2 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Abiria waliokuwa safirini kutoka Kondoa kuelekea Kiteto leo Februari 2, 2024 wamelazimika kuliacha basi lao nyuma na kutembea kwa miguu ili kuruhusu basi kupita likiwa tupu.
Abiria waliokuwa safirini kutoka Kondoa kuelekea Kiteto leo Februari 2, 2024 wamelazimika kuliacha basi lao nyuma na kutembea kwa miguu ili kuruhusu basi kupita likiwa tupu. Hatua hiyo imekuja baada ya basi hilo kushindwa kupita sehemu ambayo imeharibiwa na mvua ambazo zinaendelea kunyesha kwenye maeneo mbalimbali nchini.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live