Jeshi la polisi Mkoani Kagera linawashikilia watuhumiwa watatu Jenipher Petro (19), Mernrs Petro (22) na Emmanuel Julius (31), wakazi wa Kijiji cha Nyakanazi wakituhumia kuweka dawa za Kienyeji zenye sumu aina Biazion inayotumika kuua wadudu kwenye mboga za majani na kusababisha vifo vya watu saba wa familia Moja
Jeshi la polisi Mkoani Kagera linawashikilia watuhumiwa watatu Jenipher Petro (19), Mernrs Petro (22) na Emmanuel Julius (31), wakazi wa Kijiji cha Nyakanazi wakituhumia kuweka dawa za Kienyeji zenye sumu aina Biazion inayotumika kuua wadudu kwenye mboga za majani na kusababisha vifo vya watu saba wa familia Moja Amesema, “watumia hao walitoroka mara baada ya kutekeleza mauaji Novemba 13, 2023 na kwenda kujificha