MBUNGE wa Segerea, Bonnah Kamoli (CCM) amesema wabunge wa Dar es Salaam hawajafika Bungeni kutokana na changamoto ya mafuliko inayochangiwa na miundombinu mibovu katika jiji hilo kubwa nchini.
MBUNGE wa Segerea, Bonnah Kamoli (CCM) amesema wabunge wa Dar es Salaam hawajafika Bungeni kutokana na changamoto ya mafuliko inayochangiwa na miundombinu mibovu katika jiji hilo kubwa nchini. Bonnah ameitaka serikali kutoa kipaumbele katika utekelezaji wa Mradi wa uendelezaji wa Jiji la Dar es Salaam (Dar es Salaam Metropolitan Development Project- DMDP ili kuondoa tatizo la mafuliko linaloathiri shughuli za uchumi katika jiji hilo.