Tue, 2 Apr 2024
Chanzo: ITV
Wakala wa Barabara mkoani Iringa umeweka vioo katika kona za mlima Kitonga ili kupunguza ajali, ambapo vioo hivyo vikubwa vitawasaidia madereva kuona upande wa pili wa barabara kwenye maeneo ya kona.
Wakala wa Barabara mkoani Iringa umeweka vioo katika kona za mlima Kitonga ili kupunguza ajali, ambapo vioo hivyo vikubwa vitawasaidia madereva kuona upande wa pili wa barabara kwenye maeneo ya kona. Tuambie unadhani uwepo wa vioo hivyo utaleta matokeo chanya katika kupunguza ajali kwenye mlima huo?.
Chanzo: ITV