Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Video iliyowaponza DC na DED wa Morogoro hadi kutenguliwa na Rais Samia

Video Archive
Tue, 15 Jun 2021 Chanzo: millardayo.com

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo June 15, 2021 katika mkutano wake na vijana mkoani Mwanza katika uwanja wa Nyamagana ametengua uteuzi wa Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Bakari Msulwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo, Sheila Lukuba kwa kushindwa kusimamia Wafanyabiashara wadogowadogo ‘Wamachingwa’, sasa Ayo TV tumekusogezea video iliyowaponza Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi kupelekea kutenguliwa.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo June 15, 2021 katika mkutano wake na vijana mkoani Mwanza katika uwanja wa Nyamagana ametengua uteuzi wa Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Bakari Msulwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo, Sheila Lukuba kwa kushindwa kusimamia Wafanyabiashara wadogowadogo ‘Wamachingwa’, sasa Ayo TV tumekusogezea video iliyowaponza Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi kupelekea kutenguliwa.

Chanzo: millardayo.com