Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Video:Walichokifanya wanasheria wasiokuwa na mipaka

R456555 660x400 Video:Walichokifanya wanasheria wasiokuwa na mipaka

Tue, 15 Jun 2021 Chanzo: millardayo.com

Katika kupambana na ujangili wa Wanyamapori, Shirika lisilo la Kiserikali la Lawyers Without Border ‘Wanasheria Wasiokuwa na Mipaka’ limeendesha Mafunzo Shindani kwa Wanasheria wa Tanzania na Kenya kwa ajili ya kuwaongezea uwezo wa kushughulikia kesi mbalimbali ikiwemo za Wanyamapori. Joseph Kisole Meneja wa shirika hilo amesema“Shirika lina maka zaidi ya 20 sasa, tumekuwa tukiendesha programu tofauti tofauti juu ya Usafirishaji Haramu wa Binadamu, kujengeana uwezo wa juu ya uendeshaji wa kesi za Wanyamapori,na tumekuwa na ushirikiano na sekta tofauti tofauti na tumekuwa tukiwaleta wataalamu wa Ndani na nje kwa ajili kuwaongezea uwezo wa kisheria, lengo kubwa ni mapambano dhidi ya ujangili na kuhakikisha tunapunguza kesi za Wanyamapori,”

Katika kupambana na ujangili wa Wanyamapori, Shirika lisilo la Kiserikali la Lawyers Without Border ‘Wanasheria Wasiokuwa na Mipaka’ limeendesha Mafunzo Shindani kwa Wanasheria wa Tanzania na Kenya kwa ajili ya kuwaongezea uwezo wa kushughulikia kesi mbalimbali ikiwemo za Wanyamapori. Joseph Kisole Meneja wa shirika hilo amesema“Shirika lina maka zaidi ya 20 sasa, tumekuwa tukiendesha programu tofauti tofauti juu ya Usafirishaji Haramu wa Binadamu, kujengeana uwezo wa juu ya uendeshaji wa kesi za Wanyamapori,na tumekuwa na ushirikiano na sekta tofauti tofauti na tumekuwa tukiwaleta wataalamu wa Ndani na nje kwa ajili kuwaongezea uwezo wa kisheria, lengo kubwa ni mapambano dhidi ya ujangili na kuhakikisha tunapunguza kesi za Wanyamapori,”

Chanzo: millardayo.com