Tue, 30 Nov 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wafanya biashara katika ufukwe wa COCO wamelalamikia miundo mbinu mibovu inayopelekea sehemu za vibanda vyao kuondolea na mkondo wa bahari, jambo ambalo linatishia kubomoka kwa vibanda hivyo vipya.
Aidha wameiomba Serikali kuwasaidia kuziba kuta zilizo katika kingo za bahari ambazo kimsingi ndizo zinashikiria vibanda hivyo.
Tazama hapa chini video kwa hisani ya TBC Online.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live