Mon, 26 Feb 2018
Chanzo: millardayo.com
Waziri wa Maliasili na Utalii Dr. Hamisi Kigwangalla amemaliza mgogoro wa ardhi uliodumu kwa zaidi ya miaka minne baina ya Hifadhi ya Msitu wa Utete maarufu kama Msitu wa Kale na vitongoji vinavyopakana na hifadhi hiyo vya Siasa, Nyawanje, Kindwitwi na Utunge katika wilaya ya Rufiji mkoani Pwani.
Polisi DSM, kuhusu Kiongozi wa CHADEMA aliyenyongwa
Chanzo: millardayo.com