Thu, 25 Mar 2021
Chanzo: millardayo.com
MACHI 24, 2021 mwili wa Hayati Dkt. John Magufuli umefikishwa nyumbani kwao Chato huku Wananchi wa Chato wakiwa na simanzi na majonzi wakiwa pembeni mwa Barabarani kuupokea mwili wa Hayati Magufuli ambapo utalala nyumbani kwao kijiji cha mlimani hapa Chato.
MACHI 24, 2021 mwili wa Hayati Dkt. John Magufuli umefikishwa nyumbani kwao Chato huku Wananchi wa Chato wakiwa na simanzi na majonzi wakiwa pembeni mwa Barabarani kuupokea mwili wa Hayati Magufuli ambapo utalala nyumbani kwao kijiji cha mlimani hapa Chato.
Chanzo: millardayo.com