Sat, 10 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mmiliki wa Shirika la Ndege nchini Tanzania la Precision Air, Michael Ngaleku Shirima, ameaga dunia wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya AgaKhan, Jijini Dar es Salaam
Taarifa zaidi zitakufikia.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live