Wed, 27 Oct 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
"Viashiria kutoka Bahari ya Pasifiki, Magharibi mwa Bahari ya Hindi, Pwani ya Angola na Antlantiki vinaonesha Tanzania kukumbwa na uhaba wa Mvua.
Mwelekeo wa Mvua za November2021 hadi April 2022 unaonesha hali hiyo inachangiwa na joto la Bahari katika vyanzo hivyo vya mvua kwa nchi ya Tanzania kuwa la wastani.
Hivyo upepo wenye unyevunyevu ambao unasafiri na mvua utafika katika eneo la nchi ukiwa hauna athari inayosababisha mvua " DK Agnes Kijazi - Mkurugenzi Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini TMA
Chanzo: www.tanzaniaweb.live