Mon, 7 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Simba wawili waliozua taharuki maeneo mbalimbali ya vijiji vya mikoa ya Njombe na Iringa, hii leo Agosti 7, 2023, katika kitongoji cha Lole, Kijiji cha Makungu wilaya ya Mufindi kwa ushirikiano wa Askari wa Jeshi la Uhifadhi wa Wanyamapori kutoka Kipengere
Mkuu wa Hifadhi ya Kipengere mkoani Njombe, Donasiani Makoye, amesema Simba hao walitoweka Hifadhini Julai 21 mwaka huu na wao waliendelea kuwafuatilia Simba hao na leo wamefanikiwa kuwaua
Mhifadhi huyo amekiri kuwa Simba hao wamesababisha madhara makubwa kwa kushambulia na kuua ng'ombe 14 na nguruwe 5.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live