Wed, 14 Apr 2021
Chanzo: globalpublishers.co.tz
Mbunge wa Gairo (CCM), Ahmed Shabiby agoma kupokea taarifa ya waziri alipokuwa akizungumza bungeni jijini Dodoma katika mjadala wa kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya fedha ofisi ya waziri mkuu na taasisi zake kwa mwaka wa fedha 2021/22.
Mbunge wa Gairo (CCM), Ahmed Shabiby agoma kupokea taarifa ya waziri alipokuwa akizungumza bungeni jijini Dodoma katika mjadala wa kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya fedha ofisi ya waziri mkuu na taasisi zake kwa mwaka wa fedha 2021/22.
Chanzo: globalpublishers.co.tz