Mon, 22 Mar 2021
Chanzo: millardayo.com
Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya ameshindwa kujizuia wakati wa shughuli za kuuaga mwili wa Hayati Magufuli hapa Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma na amejikuta anamwaga machozi.
Chanzo: millardayo.com
Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya ameshindwa kujizuia wakati wa shughuli za kuuaga mwili wa Hayati Magufuli hapa Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma na amejikuta anamwaga machozi.