Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Rwegasira apeta Unaibu Meya Kinondoni

WhatsApp Image 2022 07 20 At 5.42.39 PM.jpeg Rwegasira apeta Unaibu Meya Kinondoni

Wed, 20 Jul 2022 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, wamemchagua Joseph Rwegasira (Diwani wa Kata ya Makongo), kuwa Naibu Meya Mteule wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni.

Rwegasira, anachukua nafasi iliyokuwa kishikiliwa na Heri Misinga ambaye muda wake utamalizika mwishoni mwa mwezi huu wa Julai, 2022.

Akiongea mara baada ya uchaguzi huo, Rwegasira amesema, “Ninawashukuru sana waheshimiwa madiwani kwa kuonyesha imani kubwa kwangu, naomba niwahakikishie kwa kushirikiana na Mstahiki meya tutahakikisha tunafanyakazi kwa pamoja ili kuwaletea maendeleo wananchi wetu ndani ya Manispaa yetu ya kinondoni.”

Chanzo: www.tanzaniaweb.live