Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Roma, Stamina na Madee wametajwa na Meya kuikaribisha timu ya KMC

2876 MNMAMA 660x400

Fri, 9 Feb 2018 Chanzo: millardayo.com

Baada ya club ya KMC iliyochini ya Manispaa ya Kinondoni kufanikiwa kupanda Ligi Kuu Tanzania bara kutoka daraja la kwanza, meya wa Kinondoni Benjamin Sitta ametangaza kuwa siku ya Jumamosi watafanya sherehe ya kuipongezea timu hiyo kwa kupanda Ligi Kuu na kuikabidhi kwa wananchi.

Meya Sitta ametangaza kuwa timu hiyo itatembea kuanzia ofisi za manispaa na mitaa mbalimbali ya Kindoni kabla ya saa nane mchana kuhitimisha sherehe hizo katika viwanja vya Biafra Kinondoni, sherehe hizo pia zitapambwa na wasanii mbalimbali kama Roma na Stamina.

VIDEO:Simba imetangaza kumpeleka Haruna Niyonzima India

Chanzo: millardayo.com