Tue, 11 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu, Dk Stephen Mwakajumilo, Taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais - Ikulu imesema.
Rais Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu, Dk Stephen Mwakajumilo, Taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais - Ikulu imesema. Wakati huohuo Rais Samia amemteua, Christopher Magala kuwa Mkuu wa Wilaya hiyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live