Sun, 19 Sep 2021
Chanzo: millardayo.com
Mkuu wa Mkoa wa Arusha John Mongela amekutana na Wanyabiashara pamoja na kamati ya Viongozi wa kamati ya Ulinzi na Usalama ambapo ametoa taarifa ya jinsi ya shughuli za biashara zinazoweza kufanyika huku akisema zoezi hilo litafanyika kwa utulivu kwa kufuata utaratibu.
Mkuu wa Mkoa wa Arusha John Mongela amekutana na Wanyabiashara pamoja na kamati ya Viongozi wa kamati ya Ulinzi na Usalama ambapo ametoa taarifa ya jinsi ya shughuli za biashara zinazoweza kufanyika huku akisema zoezi hilo litafanyika kwa utulivu kwa kufuata utaratibu.
Chanzo: millardayo.com