Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

RC Tanga: Tupunguze vifo vya wajawazito

Mimba D Watoto RC Tanga: Tupunguze vifo vya wajawazito

Wed, 13 Mar 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Mkuu mpya wa Mkoa wa Tanga Dkt. Batilda Burian amesema anataka kuona huduma za afya zikiimarika ndani ya mkoa huo na vifo vya Wajawazito vinapungua.

Mkuu mpya wa Mkoa wa Tanga Dkt. Batilda Burian amesema anataka kuona huduma za afya zikiimarika ndani ya mkoa huo na vifo vya Wajawazito vinapungua. Dkt. Burian ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na Watendaji wa Serikali mkoani Tanga mara baada ya kupokelewa mkoani humo ambapo pia amemuapisha mkuu mpya wa wilaya ya Mkinga, Kanali Evans Mtambi.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live