Mon, 17 Jan 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara imekanusha kuhusu taarifa zinazoendelea kusambazwa mitandaoni kwamba Shule tisa za mwisho Kitaifa zote zinatoka Mkoani Mtwara katika matokeo ya kidato nne yaliyotolewa January 15,2022.
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara imekanusha kuhusu taarifa zinazoendelea kusambazwa mitandaoni kwamba Shule tisa za mwisho Kitaifa zote zinatoka Mkoani Mtwara katika matokeo ya kidato nne yaliyotolewa January 15,2022. Uongozi huo umetoa matokeo halisi na kuwataka Watu wapuuze uongo unaozushwa mitandaoni.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live