Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

RC Makalla, Kuzunguka mtaa kwa mtaa kuzungumza na wananchi.

Makalla.jpeg Amos Makalla, Mkuu wa Mkoa wa DSM.

Thu, 26 Aug 2021 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam ,Amos Makalla, ameahidi kuzunguka sehemu mbalimbali za Jiji la Dar es salaam , ili kusikiliza kero za Wananchi Moja kwa Moja na Kuzifanyia Kazi .

Amefikia hatua hiyo mara baada ya kupokea maombi mengi kutoka kwa wananchi na wadau wamaendeleo jijini humo ya kumtaka kukutana na waanchi ili kuweza kuzifahamu kero na changamoto wanazopitia wananchi hao.

Makalla ameahidi kuanza kulitekeleza hilo Kuanzia Jumatatu August 30 , ambapo ataanza na Wakazi wa Kawe kwenye Uwanja wa Tanganyika Packers .

Chanzo: www.tanzaniaweb.live