Fri, 26 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wamiliki wa Hoteli na baa zaidi ya mia tatu Mwanza waandamana hadi kwenye ofisi ya Mkuu wa Mkoa wakiendelea kupinga faini na sheria za Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) huku wakisema hawatafungua hoteli na baa zao hadi waruhusiwe kupiga muziki.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live