Ofisa elimu wilayani Ngara afariki ajalini
Bukoba. Ofisa Elimu Sekondari Wilaya ya Ngara mkoani Kagera, Fikeni Senzighe amefariki dunia kwenye ajali akitoka kushiriki kikao cha maandalizi ya mitihani ya kidato cha sita.
Akizungumzia kifo hicho leo Jumatano Mei mosi 2019, Ofisa Elimu Mkoa wa Kagera, Aloyce Kamamba amesema ofisa huyo alifariki dunia jana akirejea wilayani Ngara baada ya kikao.
Amesema aliwaita maofisa wote wa elimu ili kuwapa maelekezo ya jumla kuhusu maandalizi ya mtihani wa kidato cha sita na gari kupata ajali akirejea Ngara.
"Ni kweli amefariki dunia jana niliwaita maofisa elimu wote na kuwapa maelekezo ya jumla kuhusu maandalizi ya mitihani ya kidato cha sita, mwili wa marehemu utasafirishwa leo mchana kwenda Kilimanjaro," amesema Kamamba.
Amebainisha kuwa maandalizi ya kusafirisha mwili wa marehemu kwenda mkoani Kilimanjaro yanafanyika na kuwa tukio hilo halitaathiri maandalizi ya mitihani ya kidato cha sita.
ag || {}; googletag.cmd = googletag.cmd || []; - Mwanzo
- Habari
- Kitaifa
Ofisa elimu wilayani Ngara afariki ajalini
Wednesday May 1 2019
Kwa ufupi
- Ni Fikeni Senzighe, alipata ajali na kupoteza maisha akitoka kushiriki kikao cha maandalizi ya mitihani ya kidato cha sita
By Phinias Bashaya, Mwananchi [email protected]Bukoba. Ofisa Elimu Sekondari Wilaya ya Ngara mkoani Kagera, Fikeni Senzighe amefariki dunia kwenye ajali akitoka kushiriki kikao cha maandalizi ya mitihani ya kidato cha sita.
Akizungumzia kifo hicho leo Jumatano Mei mosi 2019, Ofisa Elimu Mkoa wa Kagera, Aloyce Kamamba amesema ofisa huyo alifariki dunia jana akirejea wilayani Ngara baada ya kikao.
Amesema aliwaita maofisa wote wa elimu ili kuwapa maelekezo ya jumla kuhusu maandalizi ya mtihani wa kidato cha sita na gari kupata ajali akirejea Ngara.
"Ni kweli amefariki dunia jana niliwaita maofisa elimu wote na kuwapa maelekezo ya jumla kuhusu maandalizi ya mitihani ya kidato cha sita, mwili wa marehemu utasafirishwa leo mchana kwenda Kilimanjaro," amesema Kamamba.
Amebainisha kuwa maandalizi ya kusafirisha mwili wa marehemu kwenda mkoani Kilimanjaro yanafanyika na kuwa tukio hilo halitaathiri maandalizi ya mitihani ya kidato cha sita.
ag || {}; googletag.cmd = googletag.cmd || []; - Mwanzo
- Habari
- Kitaifa
Ofisa elimu wilayani Ngara afariki ajalini
Wednesday May 1 2019
Kwa ufupi
- Ni Fikeni Senzighe, alipata ajali na kupoteza maisha akitoka kushiriki kikao cha maandalizi ya mitihani ya kidato cha sita
By Phinias Bashaya, Mwananchi [email protected]Bukoba. Ofisa Elimu Sekondari Wilaya ya Ngara mkoani Kagera, Fikeni Senzighe amefariki dunia kwenye ajali akitoka kushiriki kikao cha maandalizi ya mitihani ya kidato cha sita.
Akizungumzia kifo hicho leo Jumatano Mei mosi 2019, Ofisa Elimu Mkoa wa Kagera, Aloyce Kamamba amesema ofisa huyo alifariki dunia jana akirejea wilayani Ngara baada ya kikao.
Amesema aliwaita maofisa wote wa elimu ili kuwapa maelekezo ya jumla kuhusu maandalizi ya mtihani wa kidato cha sita na gari kupata ajali akirejea Ngara.
"Ni kweli amefariki dunia jana niliwaita maofisa elimu wote na kuwapa maelekezo ya jumla kuhusu maandalizi ya mitihani ya kidato cha sita, mwili wa marehemu utasafirishwa leo mchana kwenda Kilimanjaro," amesema Kamamba.
Amebainisha kuwa maandalizi ya kusafirisha mwili wa marehemu kwenda mkoani Kilimanjaro yanafanyika na kuwa tukio hilo halitaathiri maandalizi ya mitihani ya kidato cha sita.