Wed, 26 Jan 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wakati mkaguzi msaidizi wa polisi, Grayson Gaitan Mahembe akidaiwa kujinyonga akiwa mahabusu, amezikwa mkoani Iringa jana, huku wazazi wake wakilitaka Jeshi la Polisi kuchunguza kifo chake hicho chenye utata.
Mwili wa Grayson ulizikwa kijijini kwao Iladutwa wilayani Iringa, huku mamia ya waombolezaji wakishiriki msiba huo.
baba mzazi wa marehemu, Gaitan Mahembe alisema wiki mbili zilizopita alisikia sakata hilo kuwa marehemu alitumwa kwenda kukamata mhalifu sehemu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live