Mon, 29 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Jeshi la Polisi mkoa wa Simiyu limekamata gari ndogo aina ya Noah ikiwa inasafirisha magunia 10 ya bangi.
Jeshi la Polisi mkoa wa Simiyu limekamata gari ndogo aina ya Noah ikiwa inasafirisha magunia 10 ya bangi. Gari hiyo imekamatwa katika Kijiji cha Chamgata, Kata ya Kalemela wilaya ya Busega mkoani Simiyu na kwamba dereva wa gari hilo alilitelekeza pembezoni mwa barabara ya Mwanza - Musoma na kutokomea kusikojulikana na jitihada za kumtafuta zinaendelea.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live