Tue, 28 Jul 2020
Chanzo: millardayo.com
Hivi ndivyo jeneza la Mzee Mkapa lilivyopokelewa Masasi Aiport Mkoani Mtwara, baada ya kusafirishwa kwa Helicopter ya Jeshi kutoka DSM na sasa inafanyika Ibada ya kumuombea Marehemu Rais Mstaafu Mkapa Kanisani Kijiji kwao Lupaso.
Hivi ndivyo jeneza la Mzee Mkapa lilivyopokelewa Masasi Aiport Mkoani Mtwara, baada ya kusafirishwa kwa Helicopter ya Jeshi kutoka DSM na sasa inafanyika Ibada ya kumuombea Marehemu Rais Mstaafu Mkapa Kanisani Kijiji kwao Lupaso.
Chanzo: millardayo.com