Fri, 26 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanaume mmoja aliyejulikana kwa jina moja la Timotheo, mkazi wa Babati, Mkoani Manyara leo amezua taharuki mapema leo baada ya kuonekana akiwa ameganda katikati ya barabara akiwa na mwamvuli huku akiongea mwenyewe.
Mwanaume mmoja aliyejulikana kwa jina moja la Timotheo, mkazi wa Babati, Mkoani Manyara leo amezua taharuki mapema leo baada ya kuonekana akiwa ameganda katikati ya barabara akiwa na mwamvuli huku akiongea mwenyewe. Kwa mujibu wa mashuhuda, Timotheo ambaye ni mtayarishaji wa nyimbo za Dini kwenye maneno anayoongea amekuwa akitaja jina la mwanamke Mariam.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live