Fri, 12 Apr 2024
Chanzo: Habarileo
Mtoto mmoja amefariki na wengine saba hawajulikani walipo baada ya gari la Shule yao ya Ghati Memorial School kusombwa na maji alfajiri ya leo wakati wakijaribu kuvuka korongo la Engosengiu kata ya Sinoni mkoani Arusha.
Mtoto mmoja amefariki na wengine saba hawajulikani walipo baada ya gari la Shule yao ya Ghati Memorial School kusombwa na maji alfajiri ya leo wakati wakijaribu kuvuka korongo la Engosengiu kata ya Sinoni mkoani Arusha.
Chanzo: Habarileo