Mon, 9 Aug 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Aliyekuwa mmoja wa wamiliki wa Mabasi ya Sumry, Humud Sumry amefariki Dunia Agosti 9, Jijini Dar es Salaam
Chanzo cha kifo chake bado hakijafahamika na anatarajia kuzikwa leo jijini Dar.
Sumry, alikuwa anamiliki mabsi 81 na aliacha biashara hiyo kwa kile alichodai kuwa haikuwa na faida kutokana na utumishi mbovu wa wasimamizi waliokuwa wakisimamia magari hivyo kupelekea kuhamia kwenye kilimo mkoani Rukwa
Chanzo: www.tanzaniaweb.live