Wakulima na wanachama zaidi ya 2000 wa Chama cha Ushirika cha Msingi RUMAKO ambao wanajihusisha na kilimo cha kahawa wilayani Kigoma mkoani Kigoma, wameazimia kwa pamoja na viongozi wao kumsaka na kumkamata mjumbe wa chama hicho Stephano Buha, ambaye aliuza kahawa yenye thamani ya shilingi milioni kumi na kukimbia na fedha hizo kusikojulikana.
Wakulima na wanachama zaidi ya 2000 wa Chama cha Ushirika cha Msingi RUMAKO ambao wanajihusisha na kilimo cha kahawa wilayani Kigoma mkoani Kigoma, wameazimia kwa pamoja na viongozi wao kumsaka na kumkamata mjumbe wa chama hicho Stephano Buha, ambaye aliuza kahawa yenye thamani ya shilingi milioni kumi na kukimbia na fedha hizo kusikojulikana. Wajumbe hao wakiwa katika mkutano wa bodi ya chama cha RUMAKO kwa msimu wa mwaka 2023 -2024, wamewataka viongozi wasiowaadalifu kuwajibishwa mara moja ili kuhakikisha maendeleo ya mkulima.