Tue, 20 Jul 2021
Chanzo: globalpublishers.co.tz
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Robert Gabriel amepiga marufuku mikusanyiko yoyote ambayo sio ya lazima mkoani humo katika jitihada za kudhibiti Ugonjwa wa Covid 19.
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Robert Gabriel amepiga marufuku mikusanyiko yoyote ambayo sio ya lazima mkoani humo katika jitihada za kudhibiti Ugonjwa wa Covid 19. RC Gabriel amesema mikusanyiko itakayoruhusiwa ni misiba na ibada na kuongeza kuwa hakuna kusanyiko lolote litakaloruhusiwa bila kuwa na kibali mkoani Mwanza.
Chanzo: globalpublishers.co.tz