Mfanyabiashara mmoja mjini Tabora aliyefahamika kwa jina la Mohammed Mustafa, ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana ambao walimvizia wakati akitoka nyumbani kwake majira ya saa tatu asubuhi akielekea kwenye shughuli zake.
Mfanyabiashara mmoja mjini Tabora aliyefahamika kwa jina la Mohammed Mustafa, ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana ambao walimvizia wakati akitoka nyumbani kwake majira ya saa tatu asubuhi akielekea kwenye shughuli zake. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, ACP Richard Abwao, amsema Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi wa kina kuhakikisha linawatia nguvuni wahusika.