Fri, 7 Oct 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Asasi ya APOPO's HeroRATs iliendesha maonyesho ya Panya Mashujaa, Panya wakubwa waliopata mafunzo ya kubaini nyara zitokanazo na wanyamapori katika makonteina.
Wafanyakazi wa USAID Tanzania na maafisa wa Mamlaka ya Bandari Dar es Salaam walihudhuria maonyesho hayo yaliyofanyika Morogoro.
Panya hawa wenye uwezo wa kubaini mabomu na kifua kikuu, hivi sasa wamepewa mafunzo ya kubaini miti ya mpingo iliyofichwa kwenye makonteina.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live