Sat, 20 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Hali ilivyo katika eneo la Tegeta kwa Ndevu jijini Dar es Salaam kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha Kuanzia usiku wa kuamkia leo Januari 20, 2024
Hali ilivyo katika eneo la Tegeta kwa Ndevu jijini Dar es Salaam kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha Kuanzia usiku wa kuamkia leo Januari 20, 2024 Nyumba kadhaa, Magari pamoja na Miundombinu mbakimbali imeporomoka na kusombwa na Maji.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live