Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania M.h Kassim Majaliwa ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Mazishi ya Kitaifa amesema kuwa mwili wa Hayati Dkt. John Magufuli utapelekwa Chato mkoani Geita kwa gari ili kutoa fursa kwa watu wote waliopo njiani kuaga. Mwili huo utasimama nyumba kwa Mjane (Janeth Magufuli) kwa dakika 10, kisha utaendelea na safari.
Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania M.h Kassim Majaliwa ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Mazishi ya Kitaifa amesema kuwa mwili wa Hayati Dkt. John Magufuli utapelekwa Chato mkoani Geita kwa gari ili kutoa fursa kwa watu wote waliopo njiani kuaga. Mwili huo utasimama nyumba kwa Mjane (Janeth Magufuli) kwa dakika 10, kisha utaendelea na safari.