Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Lukuvi atua Tabora kutatua migogoro ya ardhi

18302 LUKUVI+PIC TanzaniaWeb

Thu, 20 Sep 2018 Chanzo: mwananchi.co.tz

Tabora. Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi leo Alhamisi Septemba 20, 2018 ameanza ziara ya kikazi mkoani hapa kushughulikia migogoro ya ardhi.

Katika ziara hiyo, waziri huyo atakwenda eneo la Malabi manispaa ya Tabora na kuzungumza na viongozi mbalimbali.

Pia atatatua migogoro ya muda mrefu ya ardhi, ikiwemo ile ya wananchi na taasisi za Serikali, yakiwemo majeshi.

Endelea kufuatilia MCL Digital kwa habari zaidi

Chanzo: mwananchi.co.tz