Tue, 30 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mtu mmoja amefariki dunia mkoani Kagera, huku watu wengine wakijeruhiwa, baada ya lori lililokuwa limebeba mbao kuharibika mfumo wa breki, na kuanza kuserereka katika eneo la Izimbya na kisha kuyaburuza magari mengine mawili yaliyokuwa na abiria, na bodaboda 12 zilizokuwa eneo hilo.
Mtu mmoja amefariki dunia mkoani Kagera, huku watu wengine wakijeruhiwa, baada ya lori lililokuwa limebeba mbao kuharibika mfumo wa breki, na kuanza kuserereka katika eneo la Izimbya na kisha kuyaburuza magari mengine mawili yaliyokuwa na abiria, na bodaboda 12 zilizokuwa eneo hilo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live